about

VIPINDI KWA NJIA YA REDIO

Huduma ya Mana inakuletea mafundisho ya Neno la Mungu kupitia redio washirika wanaosikika sehemu mbalimbali nchini

0

Redio

00

Mikoa

00

Wasikilizaji

about
team

Tazama Redio iliyo karibu na wewe

Redio moja kwa wastani hufikia mikoa mitatu mpaka mikoa minne. Tuna mshukuru Mungu kwa Neema yake inayotuwezesha kufikia watanzania wengi.

MkoaRedioSikuMuda
KilimanjaroSauti ya InjiliJumamosi na JumapiliSaa tatu mpaka saa nne usiku
Kicheko FMJumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi na IjumaaSaa tatu kamili hadi saa nne kamili usiku
Dar es SalaamUpendo redioJumamosi na JumapiliSaa tatu mpaka saa nne usiku
IringaRedio FurahaJumamosiSaa tatu mpaka saa nne usiku
JumapiliSaa saba na nusu mchana mpaka saa nane na nusu mchana
MbeyaRungwe FMJumamosiSaa kumi na mbili mpaka saa moja asubuhi
JumapiliSaa kumi na mbili mpaka saa moja asubuhi
ShinyangaFaraja FMJumamosi na JumapiliSaa tatu mpaka saa nne usiku
Divine FMJumatatuSaa tatu mpaka saa nne usiku
JumanneSaa tatu mpaka saa nne usiku
Kicheko FMJumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi na IjumaaSaa tatu kamili hadi saa nne kamili usiku
TaboraCF FMIjumaaSaa tatu mpaka saa nne usiku
DodomaRadio UzimaJumamosi na JumapiliSaa Mbili na nusu mpaka tatu na nusu usiku
ManyaraKicheko FMJumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi na IjumaaSaa tatu kamili hadi saa nne kamili usiku
MwanzaKicheko FMJumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi na IjumaaSaa tatu kamili hadi saa nne kamili usiku
TangaKicheko FMJumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi na IjumaaSaa tatu kamili hadi saa nne kamili usiku.
team
work
"Ungana nasi katika kumshukuru Mungu, na kumtukuza katika jina la Yesu Kristo, kwa jinsi ambavyo anawahudumia watu wake."

Mana 2022
work

TUNGEPENDA KUSIKIA KUTOKA KWAKO

Karibuuwasiliane nasi kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu huduma ya MANA.